14 Je, moyo wako utaendelea kuvumilia+ au mikono yako kukupa nguvu katika siku ambayo nitatenda kukuelekea wewe?+ Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema nami nitatenda.+
14 Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema.+ Lazima ije,+ nami nitatenda. Sitapuuza,+ wala sitasikitika + wala kujuta.+ Kulingana na njia zako na kulingana na matendo yako hakika watakuhukumu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”