Ezekieli 24:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema. Itatendeka. Nitatenda bila kujizuia, bila huruma, bila kughairi.+ Watakuhukumu kulingana na njia zako na matendo yako,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
14 Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema. Itatendeka. Nitatenda bila kujizuia, bila huruma, bila kughairi.+ Watakuhukumu kulingana na njia zako na matendo yako,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”