Ezekieli 24:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema.+ Lazima ije,+ nami nitatenda. Sitapuuza,+ wala sitasikitika + wala kujuta.+ Kulingana na njia zako na kulingana na matendo yako hakika watakuhukumu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
14 Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema.+ Lazima ije,+ nami nitatenda. Sitapuuza,+ wala sitasikitika + wala kujuta.+ Kulingana na njia zako na kulingana na matendo yako hakika watakuhukumu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”