Ayubu 40:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Au, je, una mkono kama ule wa Mungu wa kweli,+Na, je, unaweza kutoa mngurumo kwa sauti kama yake?+ 1 Wakorintho 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Au je, “tunamchochea Yehova kuwa na wivu”?+ Je, sisi tuna nguvu+ zaidi kuliko yeye?