9 “Shangilia sana, Ee binti Sayuni.+ Piga kelele za ushindi,+ Ee binti Yerusalemu. Tazama! mfalme+ wako anakuja kwako.+ Yeye ni mwadilifu, ndiyo, ameokolewa;+ ni mnyenyekevu,+ naye amepanda juu ya punda, juu ya mnyama mkomavu, mwana wa punda-jike.+
10Basi mimi mwenyewe, Paulo, nawasihi ninyi kwa upole+ na fadhili+ za Kristo, ingawa kuonekana kwangu+ katikati yenu ni kwa hali ya chini, lakini nisipokuwapo mimi ni jasiri kuwaelekea ninyi.+