Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 147:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Yehova anawatuliza wapole;+

      Anawashusha waovu mpaka chini.+

  • Zaburi 149:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa maana Yehova anawafurahia watu wake.+

      Anawarembesha wapole kwa wokovu.+

  • Mathayo 11:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Chukueni nira+ yangu na mjifunze kutoka kwangu,+ kwa maana mimi ni mwenye tabia-pole+ na mnyenyekevu moyoni, nanyi mtapata burudisho+ kwa ajili ya nafsi zenu.

  • Mathayo 21:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Mwambieni binti Sayuni, ‘Tazama! Mfalme wako anakuja kwako,+ mwenye tabia-pole,+ naye amepanda juu ya punda, ndiyo, juu ya mwana-punda, uzao wa mnyama wa kubeba mizigo.’ ”+

  • 1 Petro 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 bali kuwe yule mtu wa siri+ wa moyoni katika vazi lisiloharibika+ la roho ya utulivu na ya upole,+ ambayo ni ya thamani kubwa machoni pa Mungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki