2 Wakorintho 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo hatufi moyo, lakini hata ikiwa mtu tuliye kwa nje anachakaa, hakika mtu tuliye kwa ndani+ anafanywa upya siku baada ya siku. Waefeso 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 na mnapaswa kuvaa+ utu mpya+ ulioumbwa+ kulingana na mapenzi ya Mungu katika uadilifu wa kweli+ na ushikamanifu. Wakolosai 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 na mjivike utu mpya,+ ambao kupitia ujuzi sahihi unafanywa kuwa mpya kulingana na mfano+ wa Yule aliyeuumba,
16 Kwa hiyo hatufi moyo, lakini hata ikiwa mtu tuliye kwa nje anachakaa, hakika mtu tuliye kwa ndani+ anafanywa upya siku baada ya siku.
24 na mnapaswa kuvaa+ utu mpya+ ulioumbwa+ kulingana na mapenzi ya Mungu katika uadilifu wa kweli+ na ushikamanifu.
10 na mjivike utu mpya,+ ambao kupitia ujuzi sahihi unafanywa kuwa mpya kulingana na mfano+ wa Yule aliyeuumba,