Zaburi 35:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Wale wanaopendezwa na uadilifu wangu na wapige vigelegele kwa shangwe na kushangilia.+Nao waseme daima:+“Yehova na atukuzwe, ambaye anapendezwa na amani ya mtumishi wake.”+ Zaburi 84:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana Yehova Mungu ni jua+ na ngao;+Yeye hutoa kibali na utukufu.+Yehova mwenyewe hatawanyima jambo lolote jema wale wanaotembea bila kosa.+
27 Wale wanaopendezwa na uadilifu wangu na wapige vigelegele kwa shangwe na kushangilia.+Nao waseme daima:+“Yehova na atukuzwe, ambaye anapendezwa na amani ya mtumishi wake.”+
11 Kwa maana Yehova Mungu ni jua+ na ngao;+Yeye hutoa kibali na utukufu.+Yehova mwenyewe hatawanyima jambo lolote jema wale wanaotembea bila kosa.+