Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Palikuwa na mtu katika nchi ya Usi+ ambaye jina lake lilikuwa Ayubu;+ na mtu huyo alikuwa asiye na lawama+ na mnyoofu,+ na mwenye kumwogopa Mungu+ na kujiepusha na ubaya.+

  • Zaburi 34:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Mwogopeni Yehova, enyi watakatifu wake,+

      Kwa maana wale wanaomwogopa hawakosi chochote.+

  • Zaburi 37:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Yehova anazijua siku za watu wasio na kosa,+

      Nao urithi wao wenyewe utaendelea mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Yakobo 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa hiyo, ikiwa yeyote kati yenu anakosa hekima,+ na aendelee kumwomba Mungu,+ kwa maana yeye huwapa wote kwa ukarimu na bila kushutumu;+ naye atapewa hiyo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki