Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “ ‘Na kama watu hawa watatu wangekuwa katikati yake, Noa,+ Danieli+ na Ayubu,+ wao wenyewe kwa sababu ya uadilifu+ wao wangeikomboa nafsi yao,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”+

  • Ezekieli 14:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 hata kama Noa,+ Danieli+ na Ayubu+ wangekuwa katikati yake,+ kama ninavyoishi,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘hawangekomboa mwana wala binti; wao wenyewe kwa sababu ya uadilifu wao wangeikomboa nafsi yao.’ ”+

  • Yakobo 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tazama! Tunawatangaza kuwa wenye furaha wale ambao wamevumilia.+ Mmesikia juu ya uvumilivu wa Ayubu+ nanyi mmeona matokeo ambayo Yehova alileta,+ kwamba Yehova ni mwenye upendo mwororo sana na mwenye rehema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki