Zaburi 103:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova ni mwenye rehema na mwenye neema,+Si mwepesi wa hasira na ni mwingi wa fadhili zenye upendo.+ Luka 6:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Endeleeni kuwa wenye rehema, kama vile Baba yenu alivyo mwenye rehema.+
8 Yehova ni mwenye rehema na mwenye neema,+Si mwepesi wa hasira na ni mwingi wa fadhili zenye upendo.+