Danieli 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye akaniambia: “Ee Danieli, wewe mtu mwenye kutamanika sana,+ elewa maneno ninayokuambia,+ na usimame wima mahali ulipokuwa umesimama, maana sasa nimetumwa kwako.” Naye aliposema nami neno hilo, nikasimama wima, nikitetemeka.
11 Naye akaniambia: “Ee Danieli, wewe mtu mwenye kutamanika sana,+ elewa maneno ninayokuambia,+ na usimame wima mahali ulipokuwa umesimama, maana sasa nimetumwa kwako.” Naye aliposema nami neno hilo, nikasimama wima, nikitetemeka.