Danieli 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kisha akaniambia: “Ee Danieli, wewe mtu mwenye thamani sana,*+ sikiliza kwa makini maneno ninayotaka kukwambia. Sasa simama mahali ulipo, kwa maana nimetumwa kwako.” Aliponiambia maneno hayo, nikasimama nikitetemeka.
11 Kisha akaniambia: “Ee Danieli, wewe mtu mwenye thamani sana,*+ sikiliza kwa makini maneno ninayotaka kukwambia. Sasa simama mahali ulipo, kwa maana nimetumwa kwako.” Aliponiambia maneno hayo, nikasimama nikitetemeka.