23 Ulipoanza kusali jibu lilitolewa, nami nimekuja kukujulisha jibu hilo, kwa sababu wewe ni mtu mwenye thamani sana.*+ Basi zingatia ujumbe huu na kuelewa maono haya.
19 Kisha akasema: “Usiogope,+ Ee mtu mwenye thamani sana.*+ Uwe na amani.+ Uwe na nguvu, naam, uwe na nguvu.” Alipokuwa akizungumza nami nilitiwa nguvu na kusema: “Bwana wangu, sema, kwa maana umenitia nguvu.”