Danieli 9:22, 23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Naye akanipa uelewaji akisema: “Ee Danieli, sasa nimekuja kukupa ufahamu na uelewaji. 23 Ulipoanza kusali jibu lilitolewa, nami nimekuja kukujulisha jibu hilo, kwa sababu wewe ni mtu mwenye thamani sana.*+ Basi zingatia ujumbe huu na kuelewa maono haya. Danieli 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kisha akaniambia: “Ee Danieli, wewe mtu mwenye thamani sana,*+ sikiliza kwa makini maneno ninayotaka kukwambia. Sasa simama mahali ulipo, kwa maana nimetumwa kwako.” Aliponiambia maneno hayo, nikasimama nikitetemeka.
22 Naye akanipa uelewaji akisema: “Ee Danieli, sasa nimekuja kukupa ufahamu na uelewaji. 23 Ulipoanza kusali jibu lilitolewa, nami nimekuja kukujulisha jibu hilo, kwa sababu wewe ni mtu mwenye thamani sana.*+ Basi zingatia ujumbe huu na kuelewa maono haya.
11 Kisha akaniambia: “Ee Danieli, wewe mtu mwenye thamani sana,*+ sikiliza kwa makini maneno ninayotaka kukwambia. Sasa simama mahali ulipo, kwa maana nimetumwa kwako.” Aliponiambia maneno hayo, nikasimama nikitetemeka.