Danieli 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kisha akaniambia: “Ee Danieli, wewe mtu mwenye thamani sana,*+ sikiliza kwa makini maneno ninayotaka kukwambia. Sasa simama mahali ulipo, kwa maana nimetumwa kwako.” Aliponiambia maneno hayo, nikasimama nikitetemeka. Danieli 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kisha akasema: “Usiogope,+ Ee mtu mwenye thamani sana.*+ Uwe na amani.+ Uwe na nguvu, naam, uwe na nguvu.” Alipokuwa akizungumza nami nilitiwa nguvu na kusema: “Bwana wangu, sema, kwa maana umenitia nguvu.”
11 Kisha akaniambia: “Ee Danieli, wewe mtu mwenye thamani sana,*+ sikiliza kwa makini maneno ninayotaka kukwambia. Sasa simama mahali ulipo, kwa maana nimetumwa kwako.” Aliponiambia maneno hayo, nikasimama nikitetemeka.
19 Kisha akasema: “Usiogope,+ Ee mtu mwenye thamani sana.*+ Uwe na amani.+ Uwe na nguvu, naam, uwe na nguvu.” Alipokuwa akizungumza nami nilitiwa nguvu na kusema: “Bwana wangu, sema, kwa maana umenitia nguvu.”