Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 18:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nafsi inayotenda dhambi—hiyo yenyewe itakufa.+ Mwana hatakuwa na hatia yoyote kwa sababu ya kosa la baba, na baba hatakuwa na hatia yoyote kwa sababu ya kosa la mwana.+ Uadilifu wa mwadilifu utakuwa juu yake mwenyewe,+ nao uovu wa mwovu utakuwa juu yake mwenyewe.+

  • Hosea 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mjipandie mbegu kwa uadilifu;+ mvune kulingana na fadhili zenye upendo.+ Mjilimie udongo unaofaa kwa kilimo,+ kukiwa kungali na wakati wa kumtafuta Yehova mpaka atakapokuja+ na kuwatolea ninyi mafundisho kwa uadilifu.+

  • Sefania 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole wa dunia,+ ambao mmetenda uamuzi Wake wa hukumu. Utafuteni uadilifu,+ utafuteni upole.+ Huenda+ mkafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki