4 Naye hakuwaua wana wao, bali alifanya kulingana na yale ambayo yameandikwa katika sheria, katika kitabu cha Musa,+ ambayo Yehova aliamuru, akisema: “Akina baba wasife kwa sababu ya wana,+ wala wana wasife kwa sababu ya akina baba;+ bali kila mmoja afe kwa sababu ya dhambi yake mwenyewe.”+