Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 25
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati 25:1

Marejeo

  • +2Fa 14:1
  • +2Fa 14:2

2 Mambo ya Nyakati 25:2

Marejeo

  • +Kum 12:32
  • +1Fa 8:61; 11:4; 2Fa 14:3; Zb 78:37

2 Mambo ya Nyakati 25:3

Marejeo

  • +Mwa 9:6; Kut 21:14; Hes 35:31
  • +2Nya 24:26
  • +2Nya 24:25

2 Mambo ya Nyakati 25:4

Marejeo

  • +Kum 24:16
  • +Eze 18:20
  • +Eze 18:4
  • +2Fa 14:6

2 Mambo ya Nyakati 25:5

Marejeo

  • +1Nya 27:1
  • +Kut 18:25; 1Sa 8:12; 1Nya 13:1
  • +Kum 1:15
  • +Hes 1:3
  • +1Nya 12:24; 2Nya 11:12
  • +2Nya 32:5

2 Mambo ya Nyakati 25:7

Marejeo

  • +1Fa 13:1
  • +2Nya 13:16; 19:2

2 Mambo ya Nyakati 25:8

Marejeo

  • +Met 24:10
  • +2Nya 14:11; 20:6; Zb 33:20
  • +Yer 18:23

2 Mambo ya Nyakati 25:9

Marejeo

  • +2Fa 14:1
  • +2Nya 25:6
  • +1Sa 2:7; Met 10:22; Hag 2:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,

    5/2023, uku. 7

2 Mambo ya Nyakati 25:10

Marejeo

  • +2Sa 19:43; Met 29:22

2 Mambo ya Nyakati 25:11

Marejeo

  • +2Sa 8:13; Zb 60:utangulizi
  • +2Nya 20:10
  • +2Fa 14:7

2 Mambo ya Nyakati 25:12

Marejeo

  • +Oba 3; Mdo 1:18

2 Mambo ya Nyakati 25:13

Marejeo

  • +2Nya 25:9
  • +1Fa 16:24, 29
  • +1Fa 9:17; 2Nya 8:5

2 Mambo ya Nyakati 25:14

Marejeo

  • +2Nya 28:23
  • +Kut 20:3; Kum 7:5, 25
  • +Kut 20:5
  • +2Nya 28:25; 34:25

2 Mambo ya Nyakati 25:15

Marejeo

  • +2Nya 24:20; Yer 2:5
  • +Zb 96:5
  • +Zb 115:8; Isa 46:2; Yer 10:5; 1Ko 8:4; 10:20

2 Mambo ya Nyakati 25:16

Marejeo

  • +2Nya 16:10; 18:25
  • +Met 9:7; 15:10; Isa 30:10; 2Ti 4:3
  • +Eze 18:26
  • +1Sa 2:25
  • +Met 29:1

2 Mambo ya Nyakati 25:17

Marejeo

  • +2Fa 14:8
  • +Met 20:3

2 Mambo ya Nyakati 25:18

Marejeo

  • +2Fa 14:9
  • +1Fa 4:33
  • +Amu 9:8
  • +Zb 80:13

2 Mambo ya Nyakati 25:19

Marejeo

  • +2Nya 25:11
  • +Kum 8:14; 2Nya 26:16; 32:25; Met 16:18; 28:25; Da 5:20; Hab 2:4
  • +Met 29:23; Yer 9:23
  • +Met 12:15
  • +2Fa 14:10
  • +2Nya 35:21

2 Mambo ya Nyakati 25:20

Marejeo

  • +1Fa 12:15; 2Nya 22:7
  • +2Nya 25:14

2 Mambo ya Nyakati 25:21

Marejeo

  • +2Fa 14:11
  • +2Sa 2:14; 2Nya 25:17
  • +Yos 21:16; 1Sa 6:9, 19

2 Mambo ya Nyakati 25:22

Marejeo

  • +2Fa 14:12
  • +1Fa 22:36

2 Mambo ya Nyakati 25:23

Marejeo

  • +Met 25:8
  • +2Fa 14:13
  • +Ne 8:16; 12:39
  • +2Nya 26:9; Yer 31:38; Zek 14:10

2 Mambo ya Nyakati 25:24

Marejeo

  • +1Fa 7:51; 15:18; 2Fa 25:15; 2Nya 12:9
  • +1Fa 14:26; 2Fa 24:13
  • +2Fa 14:14

2 Mambo ya Nyakati 25:25

Marejeo

  • +2Fa 14:1
  • +2Fa 13:10; 14:15, 17

2 Mambo ya Nyakati 25:26

Marejeo

  • +2Nya 12:15
  • +1Fa 14:29; 2Fa 12:19
  • +2Fa 14:18

2 Mambo ya Nyakati 25:27

Marejeo

  • +2Fa 12:20; 15:10; 21:23
  • +Yos 10:31; Mik 1:13
  • +2Fa 14:19

2 Mambo ya Nyakati 25:28

Marejeo

  • +2Fa 14:20
  • +1Fa 2:10; 11:43

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 25:12Fa 14:1
2 Nya. 25:12Fa 14:2
2 Nya. 25:2Kum 12:32
2 Nya. 25:21Fa 8:61; 11:4; 2Fa 14:3; Zb 78:37
2 Nya. 25:3Mwa 9:6; Kut 21:14; Hes 35:31
2 Nya. 25:32Nya 24:26
2 Nya. 25:32Nya 24:25
2 Nya. 25:4Kum 24:16
2 Nya. 25:4Eze 18:20
2 Nya. 25:4Eze 18:4
2 Nya. 25:42Fa 14:6
2 Nya. 25:51Nya 27:1
2 Nya. 25:5Kut 18:25; 1Sa 8:12; 1Nya 13:1
2 Nya. 25:5Kum 1:15
2 Nya. 25:5Hes 1:3
2 Nya. 25:51Nya 12:24; 2Nya 11:12
2 Nya. 25:52Nya 32:5
2 Nya. 25:71Fa 13:1
2 Nya. 25:72Nya 13:16; 19:2
2 Nya. 25:8Met 24:10
2 Nya. 25:82Nya 14:11; 20:6; Zb 33:20
2 Nya. 25:8Yer 18:23
2 Nya. 25:92Fa 14:1
2 Nya. 25:92Nya 25:6
2 Nya. 25:91Sa 2:7; Met 10:22; Hag 2:8
2 Nya. 25:102Sa 19:43; Met 29:22
2 Nya. 25:112Sa 8:13; Zb 60:utangulizi
2 Nya. 25:112Nya 20:10
2 Nya. 25:112Fa 14:7
2 Nya. 25:12Oba 3; Mdo 1:18
2 Nya. 25:132Nya 25:9
2 Nya. 25:131Fa 16:24, 29
2 Nya. 25:131Fa 9:17; 2Nya 8:5
2 Nya. 25:142Nya 28:23
2 Nya. 25:14Kut 20:3; Kum 7:5, 25
2 Nya. 25:14Kut 20:5
2 Nya. 25:142Nya 28:25; 34:25
2 Nya. 25:152Nya 24:20; Yer 2:5
2 Nya. 25:15Zb 96:5
2 Nya. 25:15Zb 115:8; Isa 46:2; Yer 10:5; 1Ko 8:4; 10:20
2 Nya. 25:162Nya 16:10; 18:25
2 Nya. 25:16Met 9:7; 15:10; Isa 30:10; 2Ti 4:3
2 Nya. 25:16Eze 18:26
2 Nya. 25:161Sa 2:25
2 Nya. 25:16Met 29:1
2 Nya. 25:172Fa 14:8
2 Nya. 25:17Met 20:3
2 Nya. 25:182Fa 14:9
2 Nya. 25:181Fa 4:33
2 Nya. 25:18Amu 9:8
2 Nya. 25:18Zb 80:13
2 Nya. 25:192Nya 25:11
2 Nya. 25:19Kum 8:14; 2Nya 26:16; 32:25; Met 16:18; 28:25; Da 5:20; Hab 2:4
2 Nya. 25:19Met 29:23; Yer 9:23
2 Nya. 25:19Met 12:15
2 Nya. 25:192Fa 14:10
2 Nya. 25:192Nya 35:21
2 Nya. 25:201Fa 12:15; 2Nya 22:7
2 Nya. 25:202Nya 25:14
2 Nya. 25:212Fa 14:11
2 Nya. 25:212Sa 2:14; 2Nya 25:17
2 Nya. 25:21Yos 21:16; 1Sa 6:9, 19
2 Nya. 25:222Fa 14:12
2 Nya. 25:221Fa 22:36
2 Nya. 25:23Met 25:8
2 Nya. 25:232Fa 14:13
2 Nya. 25:23Ne 8:16; 12:39
2 Nya. 25:232Nya 26:9; Yer 31:38; Zek 14:10
2 Nya. 25:241Fa 7:51; 15:18; 2Fa 25:15; 2Nya 12:9
2 Nya. 25:241Fa 14:26; 2Fa 24:13
2 Nya. 25:242Fa 14:14
2 Nya. 25:252Fa 14:1
2 Nya. 25:252Fa 13:10; 14:15, 17
2 Nya. 25:262Nya 12:15
2 Nya. 25:261Fa 14:29; 2Fa 12:19
2 Nya. 25:262Fa 14:18
2 Nya. 25:272Fa 12:20; 15:10; 21:23
2 Nya. 25:27Yos 10:31; Mik 1:13
2 Nya. 25:272Fa 14:19
2 Nya. 25:282Fa 14:20
2 Nya. 25:281Fa 2:10; 11:43
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 25:1-28

2 Mambo ya Nyakati

25 Amazia+ alikuwa mfalme akiwa na umri wa miaka 25, naye akatawala miaka 29 katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Yehoadani+ wa Yerusalemu. 2 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova,+ ila tu si kwa moyo kamili.+ 3 Na ikawa kwamba mara tu ufalme ulipokuwa umeimarishwa kwake, akawaua+ mara moja wale watumishi+ wake waliompiga na kumuua mfalme, baba yake.+ 4 Naye hakuwaua wana wao, bali alifanya kulingana na yale ambayo yameandikwa katika sheria, katika kitabu cha Musa,+ ambayo Yehova aliamuru, akisema: “Akina baba wasife kwa sababu ya wana,+ wala wana wasife kwa sababu ya akina baba;+ bali kila mmoja afe kwa sababu ya dhambi yake mwenyewe.”+

5 Na Amazia akawakusanya Yuda na kuwasimamisha kulingana na nyumba ya mababu,+ kulingana na wakuu wa maelfu+ na kulingana na wakuu wa mamia+ kwa ajili ya Yuda wote na Benyamini; naye akawaandikisha kuanzia umri wa miaka 20+ na zaidi, na mwishowe akakuta kwamba walikuwa wanaume bora 300,000 wanaoingia jeshini, wanaotumia mkuki+ na ngao kubwa.+ 6 Tena akaandika kutoka katika Israeli mashujaa, wanaume wenye nguvu mia moja elfu kwa talanta mia moja za fedha. 7 Na mtu fulani wa Mungu wa kweli+ akamjia, akisema: “Ee mfalme, usiache jeshi la Israeli liende pamoja nawe, kwa maana Yehova hayuko pamoja na Israeli,+ yaani, wana wote wa Efraimu. 8 Lakini wewe mwenyewe nenda, utende, uwe hodari kwa ajili ya vita.+ Mungu wa kweli anaweza kukufanya ujikwae mbele ya adui; kwa maana Mungu ana nguvu za kusaidia+ na za kusababisha kujikwaa.”+ 9 Ndipo Amazia+ akamwambia yule mtu wa Mungu wa kweli: “Lakini zifanyweje zile talanta mia moja ambazo nimewapa majeshi ya Israeli?”+ Mtu wa Mungu wa kweli akajibu, akasema: “Yehova ana uwezo wa kukupa nyingi zaidi kuliko hizo.”+ 10 Basi Amazia akawatenga, yaani, yale majeshi yaliyomjia kutoka Efraimu, ili waende kwao. Hata hivyo, hasira yao ikawaka sana juu ya Yuda, nao wakarudi kwao wakiwaka hasira.+

11 Naye Amazia akajipa moyo, akawaongoza watu wake, akaenda katika Bonde la Chumvi;+ naye akawapiga wana wa Seiri,+ elfu kumi kati yao.+ 12 Na wana wa Yuda wakakamata watu elfu kumi wakiwa hai. Basi wakawaleta kwenye kilele cha mwamba, wakawatupa kutoka kilele cha mwamba ule; nao wote wakapasuka.+ 13 Na wale askari-jeshi ambao Amazia alirudisha wasiende pamoja naye vitani,+ wakaanza kuvamia majiji ya Yuda, kuanzia Samaria+ mpaka Beth-horoni,+ wakawapiga elfu tatu kati yao na kuchukua nyara nyingi.

14 Lakini ikawa kwamba baada ya Amazia kurudi kutoka kuwapiga Waedomu, akaleta miungu+ ya wana wa Seiri na kujisimamishia iwe miungu,+ naye akaanza kuinama mbele yake,+ naye akaanza kuifukizia moshi wa dhabihu.+ 15 Kwa hiyo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Amazia, na hivyo akamtumia nabii na kumwambia: “Kwa nini umeitafuta+ miungu ya watu+ ambayo haikuwakomboa watu wake kutoka mkononi mwako?”+ 16 Na ikawa kwamba aliposema naye, mara moja mfalme akamwambia: “Je, tulikuweka wewe kuwa mshauri wa mfalme?+ Acha kwa faida yako mwenyewe.+ Kwa nini wakupige na kukuua?” Kwa hiyo yule nabii akaacha, lakini akasema: “Hakika ninajua kwamba Mungu ameazimia kukuangamiza wewe,+ kwa sababu umetenda hivi+ wala hukulisikiliza shauri langu.”+

17 Na Amazia mfalme wa Yuda akatafuta shauri na kutuma ujumbe kwa Yehoashi mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu mfalme wa Israeli,+ na kusema: “Njoo! Tutazamane uso kwa uso.”+ 18 Ndipo Yehoashi mfalme wa Israeli akatuma ujumbe kwa Amazia mfalme wa Yuda, na kusema:+ “Gugu lenye miiba lililokuwa katika Lebanoni lilituma ujumbe kwa mwerezi uliokuwa katika Lebanoni,+ na kusema, ‘Mpe mwanangu binti yako awe mke wake.’+ Hata hivyo, mnyama wa mwituni+ aliyekuwa katika Lebanoni akapita karibu, akalikanyaga lile gugu lenye miiba. 19 Umesema moyoni mwako, Tazama, umepiga Edomu.+ Na moyo+ wako umekuinua ili utukuzwe.+ Sasa endelea kukaa nyumbani kwako mwenyewe.+ Kwa nini ujiingize katika mzozo katika hali zisizofaa+ hata uanguke, wewe na Yuda pamoja nawe?”+

20 Lakini Amazia hakusikiliza; kwa maana jambo hilo lilitoka kwa Mungu wa kweli+ kwa kusudi la kuwatia mkononi mwake, kwa sababu walikuwa wameitafuta miungu ya Edomu.+ 21 Basi Yehoashi mfalme wa Israeli akapanda,+ nao wakatazamana uso kwa uso,+ yeye na Amazia mfalme wa Yuda, kule Beth-shemeshi,+ ya Yuda. 22 Na Yuda wakashindwa mbele ya Israeli,+ hata wakaanza kukimbia, kila mmoja kwenda katika hema lake.+ 23 Naye Yehoashi mfalme wa Israeli akamkamata+ Amazia mfalme wa Yuda, mwana wa Yehoashi mwana wa Yehoahazi, kule Beth-shemeshi, kisha akamleta Yerusalemu,+ naye akabomoa shimo katika ukuta wa Yerusalemu, kuanzia Lango la Efraimu+ mpaka kwenye Lango la Pembeni,+ urefu wa mikono mia nne. 24 Naye akachukua dhahabu yote na fedha na vyombo vyote vilivyopatikana katika nyumba ya Mungu wa kweli na Obed-edomu+ na hazina za nyumba ya mfalme+ na mateka, kisha akarudi Samaria.+

25 Na Amazia+ mwana wa Yehoashi mfalme wa Yuda akaendelea kuishi miaka kumi na mitano baada ya kifo cha Yehoashi mwana wa Yehoahazi mfalme wa Israeli.+ 26 Na mambo mengine ya Amazia, ya kwanza na ya mwisho,+ tazama! je, hayakuandikwa katika Kitabu+ cha Wafalme wa Yuda na Israeli?+ 27 Na kutoka wakati Amazia alipogeuka akaacha kumfuata Yehova, wakapanga hila+ juu yake katika Yerusalemu. Mwishowe akakimbilia Lakishi;+ lakini wakatuma watu kumfuatilia huko Lakishi, wakamuua huko.+ 28 Kwa hiyo wakambeba juu ya farasi,+ wakamzika pamoja na mababu zake katika jiji la Yuda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki