2 Mambo ya Nyakati 25:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini mtu fulani wa Mungu wa kweli akamjia na kumwambia: “Ee mfalme, usiruhusu jeshi la Israeli liende pamoja nawe, kwa maana Yehova hayuko pamoja na Waisraeli,+ hayuko pamoja na Mwefraimu yeyote.
7 Lakini mtu fulani wa Mungu wa kweli akamjia na kumwambia: “Ee mfalme, usiruhusu jeshi la Israeli liende pamoja nawe, kwa maana Yehova hayuko pamoja na Waisraeli,+ hayuko pamoja na Mwefraimu yeyote.