Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 nao moyo wako uinuke juu,+ na umsahau Yehova Mungu wako, aliyekutoa katika nchi ya Misri, kutoka katika nyumba ya watumwa;+

  • 2 Mambo ya Nyakati 26:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Hata hivyo, mara tu alipopata nguvu, moyo wake ukawa na majivuno+ hata kufikia hatua ya kusababisha uharibifu,+ hivi kwamba akatenda kwa ukosefu wa uaminifu kwa Yehova Mungu wake, akaingia katika hekalu la Yehova ili kufukiza uvumba juu ya madhabahu ya uvumba.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini Hezekia hakurudisha kulingana na mema aliyotendewa,+ kwa kuwa moyo wake ulikuwa wenye majivuno+ na kukawa na ghadhabu+ juu yake na juu ya Yuda na Yerusalemu.

  • Methali 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kiburi hutangulia kuanguka,+ na roho ya majivuno hutangulia kujikwaa.+

  • Methali 28:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Mwenye kiburi katika nafsi huchochea ugomvi,+ lakini yeye anayemtegemea Yehova atafanywa anenepe.+

  • Danieli 5:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini moyo wake ulipojivuna na roho yake ikawa ngumu, akatenda kwa kimbelembele,+ alishushwa kutoka katika kiti cha ufalme wake, akaondolewa heshima yake.+

  • Habakuki 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Tazama! Nafsi yake imejivuna;+ haikuwa nyoofu ndani yake. Lakini mwadilifu, ataendelea kuishi kwa uaminifu wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki