Methali 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Chuki huchochea ugomvi,+ lakini upendo hufunika hata makosa yote.+ 1 Timotheo 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 yeye anajivuna kwa kiburi,+ haelewi jambo lolote,+ bali ni mgonjwa kiakili+ juu ya maswali na mabishano juu ya maneno.+ Mambo hayo hutokeza wivu,+ mizozo, matukano,+ shuku zenye uovu,
4 yeye anajivuna kwa kiburi,+ haelewi jambo lolote,+ bali ni mgonjwa kiakili+ juu ya maswali na mabishano juu ya maneno.+ Mambo hayo hutokeza wivu,+ mizozo, matukano,+ shuku zenye uovu,