Waroma 1:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na kama vile ambavyo hawakukubali kumjua Mungu katika ujuzi sahihi,+ Mungu aliwaacha katika hali ya akili iliyokataliwa,+ ili wafanye mambo yasiyofaa,+ Tito 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 ukijua kwamba mtu wa namna hiyo amegeuzwa kutoka njiani na anafanya dhambi, yeye akiwa amejihukumia hatia mwenyewe.+
28 Na kama vile ambavyo hawakukubali kumjua Mungu katika ujuzi sahihi,+ Mungu aliwaacha katika hali ya akili iliyokataliwa,+ ili wafanye mambo yasiyofaa,+
11 ukijua kwamba mtu wa namna hiyo amegeuzwa kutoka njiani na anafanya dhambi, yeye akiwa amejihukumia hatia mwenyewe.+