Waebrania 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 lakini ambao wameanguka,+ kuwarudisha tena kwenye toba,+ kwa sababu wanamtundika upya mtini Mwana wa Mungu kwa ajili yao wenyewe na kumfunua yeye kwenye aibu ya hadharani.+
6 lakini ambao wameanguka,+ kuwarudisha tena kwenye toba,+ kwa sababu wanamtundika upya mtini Mwana wa Mungu kwa ajili yao wenyewe na kumfunua yeye kwenye aibu ya hadharani.+