Mathayo 12:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa mfano, yeyote yule anayesema neno baya juu ya Mwana wa binadamu, atasamehewa;+ lakini yeyote yule anayesema vibaya juu ya roho takatifu, hilo hatasamehewa, hapana, si katika mfumo huu wa mambo wala katika ule utakaokuja.+
32 Kwa mfano, yeyote yule anayesema neno baya juu ya Mwana wa binadamu, atasamehewa;+ lakini yeyote yule anayesema vibaya juu ya roho takatifu, hilo hatasamehewa, hapana, si katika mfumo huu wa mambo wala katika ule utakaokuja.+