Marko 3:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Hata hivyo, yeyote yule anayekufuru roho takatifu hatapata msamaha milele, bali ana hatia ya dhambi ya milele.”+ Luka 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na kila mtu anayesema neno baya juu ya Mwana wa binadamu, atasamehewa; lakini yule anayekufuru roho takatifu hatasamehewa.+ Waebrania 10:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana tukizoea kutenda dhambi kimakusudi+ baada ya kupokea ujuzi sahihi juu ya kweli,+ hakuna tena dhabihu yoyote iliyobaki kwa ajili ya dhambi,+
29 Hata hivyo, yeyote yule anayekufuru roho takatifu hatapata msamaha milele, bali ana hatia ya dhambi ya milele.”+
10 Na kila mtu anayesema neno baya juu ya Mwana wa binadamu, atasamehewa; lakini yule anayekufuru roho takatifu hatasamehewa.+
26 Kwa maana tukizoea kutenda dhambi kimakusudi+ baada ya kupokea ujuzi sahihi juu ya kweli,+ hakuna tena dhabihu yoyote iliyobaki kwa ajili ya dhambi,+