Yakobo 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo, ikiwa mtu anajua jinsi ya kufanya yaliyo sawa na bado hayafanyi,+ hiyo ni dhambi+ kwake. 1 Yohana 5:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yeyote akimwona ndugu yake anafanya dhambi, dhambi ambayo haileti kifo,+ yeye ataomba, naye atampa huyo uzima,+ ndiyo, kwa wale ambao hawafanyi dhambi inayoleta kifo.+ Kuna dhambi ambayo huleta kifo. Ni kuhusu dhambi hiyo kwamba simwambii aombe.+
17 Kwa hiyo, ikiwa mtu anajua jinsi ya kufanya yaliyo sawa na bado hayafanyi,+ hiyo ni dhambi+ kwake.
16 Yeyote akimwona ndugu yake anafanya dhambi, dhambi ambayo haileti kifo,+ yeye ataomba, naye atampa huyo uzima,+ ndiyo, kwa wale ambao hawafanyi dhambi inayoleta kifo.+ Kuna dhambi ambayo huleta kifo. Ni kuhusu dhambi hiyo kwamba simwambii aombe.+