Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 12:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Kwa hiyo mimi ninawaambia ninyi, Watu watasamehewa kila namna ya dhambi na kufuru, lakini hawatasamehewa kufuru juu ya roho.+

  • Marko 3:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Hata hivyo, yeyote yule anayekufuru roho takatifu hatapata msamaha milele, bali ana hatia ya dhambi ya milele.”+

  • Luka 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na kila mtu anayesema neno baya juu ya Mwana wa binadamu, atasamehewa; lakini yule anayekufuru roho takatifu hatasamehewa.+

  • Waebrania 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 lakini ambao wameanguka,+ kuwarudisha tena kwenye toba,+ kwa sababu wanamtundika upya mtini Mwana wa Mungu kwa ajili yao wenyewe na kumfunua yeye kwenye aibu ya hadharani.+

  • Waebrania 10:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa maana tukizoea kutenda dhambi kimakusudi+ baada ya kupokea ujuzi sahihi juu ya kweli,+ hakuna tena dhabihu yoyote iliyobaki kwa ajili ya dhambi,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki