Zaburi 119:118 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 118 Umewarusha mbali wale wote wanaoondoka katika masharti yako;+Kwa maana ujanja wao ni uwongo.+ 2 Wakorintho 11:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana watu wa namna hiyo ni mitume wa uwongo, wafanyakazi wadanganyifu,+ wakijigeuza wenyewe kuwa mitume wa Kristo.+ Waebrania 10:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Sasa sisi si namna ya watu wanaorudi nyuma kwenye maangamizi,+ bali sisi ni namna ya watu walio na imani ya kuihifadhi hai nafsi.+ 1 Yohana 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wao waliondoka kwetu, lakini hawakuwa wa namna yetu;+ kwa maana ikiwa wangekuwa wa namna yetu, wangebaki pamoja na sisi.+ Lakini wao waliondoka ili ionyeshwe wazi kwamba si wote walio wa namna yetu.+
13 Kwa maana watu wa namna hiyo ni mitume wa uwongo, wafanyakazi wadanganyifu,+ wakijigeuza wenyewe kuwa mitume wa Kristo.+
39 Sasa sisi si namna ya watu wanaorudi nyuma kwenye maangamizi,+ bali sisi ni namna ya watu walio na imani ya kuihifadhi hai nafsi.+
19 Wao waliondoka kwetu, lakini hawakuwa wa namna yetu;+ kwa maana ikiwa wangekuwa wa namna yetu, wangebaki pamoja na sisi.+ Lakini wao waliondoka ili ionyeshwe wazi kwamba si wote walio wa namna yetu.+