Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 17:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 nao wakaendelea kukataa masharti yake na agano+ lake alilofanya na mababu zao na vikumbusho+ vyake alivyokuwa amewaonya navyo, nao wakaendelea kufuata sanamu za ubatili+ nao wenyewe wakawa ubatili,+ naam, kwa kuiga mataifa yaliyowazunguka pande zote, ambao Yehova alikuwa amewaamuru wasifanye kama wao;+

  • 1 Mambo ya Nyakati 28:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Nawe, Sulemani mwanangu, mjue+ Mungu wa baba yako, umtumikie+ kwa moyo kamili+ na kwa nafsi yenye shangwe;+ kwa maana Yehova anaichunguza mioyo yote,+ naye anatambua kila mwelekeo wa fikira.+ Ukimtafuta, ataacha umpate;+ lakini ukimwacha,+ atakutupa mbali milele.+

  • Zaburi 95:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa miaka 40 nilichukizwa na kizazi hicho,+

      Nami nikasema:

      “Wao ni kikundi cha watu waliopotoka moyoni,+

      Nao wenyewe hawajapata kuzijua njia zangu”;+

  • Maombolezo 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Yehova ametupa kutoka katikati yangu watu wangu wote wenye nguvu.+

      Ameitisha mkutano juu yangu, ili kuvunja vipande-vipande vijana wangu.+

      Yehova amekanyaga shinikizo la divai+ la binti Yuda aliye bikira.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki