Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 31:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ndipo hasira yangu itakapowaka kwelikweli juu yao katika siku hiyo,+ nami hakika nitawaacha+ na kuuficha uso wangu mbali nao,+ nao watakuwa kitu cha kuteketezwa; na misiba mingi na taabu zitakuja juu yao,+ nao watalazimika kusema siku hiyo, ‘Je, misiba hii haikuja juu yetu kwa sababu Mungu wetu hayuko katikati yetu?’+

  • Zaburi 73:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa maana, tazama! Walewale wanaokaa mbali nawe wataangamia.+

      Hakika utamnyamazisha kila mtu ambaye kwa njia isiyo ya adili anakuacha.+

  • Isaya 1:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na anguko la waasi na la wenye dhambi litakuwa kwa wakati uleule mmoja,+ na wale wanaomwacha Yehova watafikia mwisho wao.+

  • Waebrania 10:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 “Lakini mwadilifu wangu ataishi kwa sababu ya imani,”+ na, “akirudi nyuma kwa kutetemeka, nafsi yangu haipendezwi naye.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki