1 Samweli 12:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini mkifanya yaliyo mabaya bila kujali, ninyi pamoja na mfalme wenu+ mtafagiliwa mbali.”+ 1 Wafalme 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ninyi na wana wenu hakika mkigeuka mwache kunifuata+ na mkose kushika amri zangu na masharti yangu ambayo nimeweka mbele yenu, nanyi mwende na kuitumikia miungu mingine+ na kuiinamia, 2 Wathesalonike 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Watu hao watahukumiwa adhabu+ ya uharibifu wa milele+ kutoka mbele ya Bwana na kutoka kwenye utukufu wa nguvu zake,+
6 Ninyi na wana wenu hakika mkigeuka mwache kunifuata+ na mkose kushika amri zangu na masharti yangu ambayo nimeweka mbele yenu, nanyi mwende na kuitumikia miungu mingine+ na kuiinamia,
9 Watu hao watahukumiwa adhabu+ ya uharibifu wa milele+ kutoka mbele ya Bwana na kutoka kwenye utukufu wa nguvu zake,+