Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 12
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Samweli 12:1

Marejeo

  • +1Sa 8:5, 21
  • +1Sa 10:24; 11:14

1 Samweli 12:2

Marejeo

  • +Hes 27:17; 1Sa 8:20
  • +1Sa 8:1
  • +Zb 71:18; Met 16:31; 20:29; Isa 46:4
  • +1Sa 8:3; Eze 18:20
  • +1Sa 3:19; Zb 99:6

1 Samweli 12:3

Marejeo

  • +1Sa 9:16; 10:1; 24:6; 2Sa 1:14; Mdo 4:27; 10:38
  • +Hes 16:15
  • +Kum 16:19
  • +Kut 22:4; Law 6:4; Lu 19:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 734

1 Samweli 12:4

Marejeo

  • +Zb 37:6; Da 6:4; 1Ti 3:2

1 Samweli 12:5

Marejeo

  • +1Sa 26:11
  • +Zb 17:3; 37:37; Yoh 18:38; Mdo 20:33; 1Th 2:5

1 Samweli 12:6

Marejeo

  • +Kut 6:26; Ne 9:14; Zb 77:20; 105:26; Ho. 12:13; Mik 6:4

1 Samweli 12:7

Marejeo

  • +Amu 5:11

1 Samweli 12:8

Marejeo

  • +Mwa 46:6; Hes 20:15; Mdo 7:15
  • +Kut 2:23; 3:9
  • +Kut 3:10
  • +Yos 1:2; 11:23; Zb 44:3

1 Samweli 12:9

Marejeo

  • +Kum 32:18; Amu 2:12; Zb 106:39
  • +Kum 32:30; Amu 2:14
  • +Amu 4:2
  • +Amu 10:7; 13:1
  • +Amu 3:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, kur. 734-735

1 Samweli 12:10

Marejeo

  • +Amu 2:18; 3:9; 6:7
  • +Amu 10:10
  • +Amu 3:7
  • +Amu 2:13
  • +Amu 10:15

1 Samweli 12:11

Marejeo

  • +Amu 6:32
  • +Amu 11:1
  • +Ebr 11:32
  • +Law 26:6; Zb 4:8

1 Samweli 12:12

Marejeo

  • +1Sa 11:1
  • +1Sa 8:5, 19
  • +Kum 33:5; Amu 8:23; 1Sa 8:7; Zb 74:12; Isa 33:22

1 Samweli 12:13

Marejeo

  • +1Sa 8:5
  • +1Sa 9:16; 10:24; Ho. 13:11

1 Samweli 12:14

Marejeo

  • +Kum 10:12; 17:19
  • +Kum 6:13; Yos 24:14
  • +Kum 13:4; 28:2
  • +Hes 14:9; Yos 22:29

1 Samweli 12:15

Marejeo

  • +Law 26:14; Kum 28:15
  • +Yos 24:20
  • +Law 26:17; Hes 33:56; Kum 28:45

1 Samweli 12:17

Marejeo

  • +Met 26:1
  • +1Sa 7:9; Yak 5:16
  • +Yak 5:17
  • +1Sa 8:7; Ho. 13:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 59

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    10/1/2010, uku. 14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 10/1 14

1 Samweli 12:18

Marejeo

  • +1Fa 18:37
  • +1Fa 18:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, uku. 66

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    10/1/2010, uku. 18

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 10/1 18

1 Samweli 12:19

Marejeo

  • +1Sa 7:5; 12:23; Met 15:8; Mdo 8:24; Yak 5:16

1 Samweli 12:20

Marejeo

  • +Kut 20:20
  • +Kum 11:16; 31:29; Yos 23:6; 1Sa 12:15
  • +Kum 6:5; Mt 22:37

1 Samweli 12:21

Marejeo

  • +Kum 32:21; Yer 2:5, 11; 1Ko 8:4
  • +Zb 115:5; Yer 10:15; 16:19; Hab 2:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2011, kur. 13-14

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 7/15 13-14

1 Samweli 12:22

Marejeo

  • +1Fa 6:13; Zb 94:14; Ro 11:1
  • +Yos 7:9; Zb 23:3; 106:8; Yer 14:21; Eze 20:14
  • +Kut 19:5; Kum 7:7; 14:2; 32:9; Isa 43:21

1 Samweli 12:23

Marejeo

  • +Ro 1:9; Kol 1:9; 2Ti 1:3
  • +Zb 34:11; Met 4:11
  • +1Fa 8:36; 2Nya 6:27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, kur. 28-29

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 29

1 Samweli 12:24

Marejeo

  • +1Sa 12:14; Zb 111:10; Mhu 12:13
  • +Kum 10:12
  • +Kum 10:21

1 Samweli 12:25

Marejeo

  • +Kum 28:36
  • +Yos 24:20

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Sam. 12:11Sa 8:5, 21
1 Sam. 12:11Sa 10:24; 11:14
1 Sam. 12:2Hes 27:17; 1Sa 8:20
1 Sam. 12:21Sa 8:1
1 Sam. 12:2Zb 71:18; Met 16:31; 20:29; Isa 46:4
1 Sam. 12:21Sa 8:3; Eze 18:20
1 Sam. 12:21Sa 3:19; Zb 99:6
1 Sam. 12:31Sa 9:16; 10:1; 24:6; 2Sa 1:14; Mdo 4:27; 10:38
1 Sam. 12:3Hes 16:15
1 Sam. 12:3Kum 16:19
1 Sam. 12:3Kut 22:4; Law 6:4; Lu 19:8
1 Sam. 12:4Zb 37:6; Da 6:4; 1Ti 3:2
1 Sam. 12:51Sa 26:11
1 Sam. 12:5Zb 17:3; 37:37; Yoh 18:38; Mdo 20:33; 1Th 2:5
1 Sam. 12:6Kut 6:26; Ne 9:14; Zb 77:20; 105:26; Ho. 12:13; Mik 6:4
1 Sam. 12:7Amu 5:11
1 Sam. 12:8Mwa 46:6; Hes 20:15; Mdo 7:15
1 Sam. 12:8Kut 2:23; 3:9
1 Sam. 12:8Kut 3:10
1 Sam. 12:8Yos 1:2; 11:23; Zb 44:3
1 Sam. 12:9Kum 32:18; Amu 2:12; Zb 106:39
1 Sam. 12:9Kum 32:30; Amu 2:14
1 Sam. 12:9Amu 4:2
1 Sam. 12:9Amu 10:7; 13:1
1 Sam. 12:9Amu 3:12
1 Sam. 12:10Amu 2:18; 3:9; 6:7
1 Sam. 12:10Amu 10:10
1 Sam. 12:10Amu 3:7
1 Sam. 12:10Amu 2:13
1 Sam. 12:10Amu 10:15
1 Sam. 12:11Amu 6:32
1 Sam. 12:11Amu 11:1
1 Sam. 12:11Ebr 11:32
1 Sam. 12:11Law 26:6; Zb 4:8
1 Sam. 12:121Sa 11:1
1 Sam. 12:121Sa 8:5, 19
1 Sam. 12:12Kum 33:5; Amu 8:23; 1Sa 8:7; Zb 74:12; Isa 33:22
1 Sam. 12:131Sa 8:5
1 Sam. 12:131Sa 9:16; 10:24; Ho. 13:11
1 Sam. 12:14Kum 10:12; 17:19
1 Sam. 12:14Kum 6:13; Yos 24:14
1 Sam. 12:14Kum 13:4; 28:2
1 Sam. 12:14Hes 14:9; Yos 22:29
1 Sam. 12:15Law 26:14; Kum 28:15
1 Sam. 12:15Yos 24:20
1 Sam. 12:15Law 26:17; Hes 33:56; Kum 28:45
1 Sam. 12:17Met 26:1
1 Sam. 12:171Sa 7:9; Yak 5:16
1 Sam. 12:17Yak 5:17
1 Sam. 12:171Sa 8:7; Ho. 13:11
1 Sam. 12:181Fa 18:37
1 Sam. 12:181Fa 18:1
1 Sam. 12:191Sa 7:5; 12:23; Met 15:8; Mdo 8:24; Yak 5:16
1 Sam. 12:20Kut 20:20
1 Sam. 12:20Kum 11:16; 31:29; Yos 23:6; 1Sa 12:15
1 Sam. 12:20Kum 6:5; Mt 22:37
1 Sam. 12:21Kum 32:21; Yer 2:5, 11; 1Ko 8:4
1 Sam. 12:21Zb 115:5; Yer 10:15; 16:19; Hab 2:18
1 Sam. 12:221Fa 6:13; Zb 94:14; Ro 11:1
1 Sam. 12:22Yos 7:9; Zb 23:3; 106:8; Yer 14:21; Eze 20:14
1 Sam. 12:22Kut 19:5; Kum 7:7; 14:2; 32:9; Isa 43:21
1 Sam. 12:23Ro 1:9; Kol 1:9; 2Ti 1:3
1 Sam. 12:23Zb 34:11; Met 4:11
1 Sam. 12:231Fa 8:36; 2Nya 6:27
1 Sam. 12:241Sa 12:14; Zb 111:10; Mhu 12:13
1 Sam. 12:24Kum 10:12
1 Sam. 12:24Kum 10:21
1 Sam. 12:25Kum 28:36
1 Sam. 12:25Yos 24:20
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Samweli 12:1-25

1 Samweli

12 Mwishowe Samweli akawaambia Israeli wote: “Tazama, nimesikiliza sauti yenu kuhusu mambo yote ambayo mmeniambia,+ kwamba nifanye mfalme atawale juu yenu.+ 2 Na sasa tazameni, mfalme anatembea mbele yenu!+ Lakini mimi nimezeeka+ nami nina mvi,+ na tazameni, wanangu wako pamoja nanyi,+ nami nimetembea mbele yenu tangu ujana wangu mpaka leo hii.+ 3 Mimi hapa. Leteni jibu kinyume changu mbele za Yehova na mbele ya mtiwa-mafuta+ wake: Nimechukua ng’ombe wa nani au nimechukua punda wa nani+ au nimempunja nani au nimemponda nani au nimepokea kutoka kwa mkono wa nani pesa za hongo ili nizitumie kufunga macho yangu?+ Nami nitawarudishia ninyi.”+ 4 Nao wakasema: “Wewe hukutupunja, wala kutuponda, wala kupokea chochote kutoka mkononi mwa mtu hata mmoja.”+ 5 Basi akawaambia: “Yehova ni shahidi dhidi yenu, na mtiwa-mafuta+ wake ni shahidi leo kwamba hamkupata chochote mkononi mwangu.”+ Nao wakasema: “Yeye ni shahidi.”

6 Na Samweli akaendelea kuwaambia watu hao: “Yehova ni shahidi, aliyewatumia Musa na Haruni, na ambaye aliwaleta mababu zenu kutoka nchi ya Misri.+ 7 Basi sasa simameni, nami nitawahukumu ninyi mbele za Yehova na kuwasimulia matendo yote ya uadilifu+ ya Yehova ambayo amewafanyia ninyi na mababu zenu.

8 “Mara Yakobo alipokuwa ameingia Misri+ nao mababu zenu wakaanza kumwomba Yehova msaada,+ Yehova aliwatuma Musa+ na Haruni, ili wawaongoze mababu zenu watoke Misri na kuwakalisha mahali hapa.+ 9 Nao wakamsahau Yehova, Mungu wao,+ naye akawauza+ mkononi mwa Sisera+ mkuu wa jeshi la Hasori na mkononi mwa Wafilisti+ na mkononi mwa mfalme wa Moabu,+ nao wakaendelea kupiga vita juu yao. 10 Nao wakaanza kumwomba Yehova msaada,+ wakisema, ‘Tumetenda dhambi,+ kwa maana tumemwacha Yehova ili tutumikie Mabaali+ na sanamu za Ashtorethi;+ basi sasa utukomboe+ kutoka mkono wa adui zetu, ili tukutumikie.’ 11 Ndipo Yehova akamtuma Yerubaali+ na Bedani na Yeftha+ na Samweli,+ akawakomboa kutoka mkono wa adui zenu pande zote, ili mkae kwa amani.+ 12 Mlipoona kwamba Nahashi+ mfalme wa wana wa Amoni amekuja kupigana nanyi, mkaniambia tena na tena, ‘Hapana, bali ni mfalme ndiye atakayetawala juu yetu!’+ ingawa wakati huo wote Yehova Mungu wenu alikuwa mfalme wenu.+ 13 Na sasa tazameni, mfalme mliyemchagua, ambaye mliomba;+ na tazameni, Yehova ameweka mfalme juu yenu.+ 14 Mkimwogopa+ Yehova na kumtumikia+ na kuitii sauti yake+ kwelikweli, nanyi msipoliasi+ agizo la Yehova, ninyi pamoja na mfalme atakayetawala juu yenu mtakuwa wafuasi wa Yehova, Mungu wenu. 15 Lakini msipoisikiliza sauti ya Yehova,+ na ikiwa kwelikweli mtaliasi agizo la Yehova,+ hakika mkono wa Yehova utakuwa kinyume chenu na baba zenu.+ 16 Sasa, pia, simameni mwone jambo hili kubwa ambalo Yehova anafanya mbele ya macho yenu. 17 Je, leo si mavuno ya ngano?+ Nitamwomba+ Yehova ili alete mngurumo na mvua;+ ndipo mjue na kuona kwamba uovu wenu ni mwingi+ ambao mmefanya machoni pa Yehova kwa kujiombea mfalme.”

18 Ndipo Samweli akamwita Yehova,+ naye Yehova akaleta mngurumo na mvua siku hiyo,+ hivi kwamba watu wote wakawaogopa sana Yehova na Samweli. 19 Na watu wote wakaanza kumwambia Samweli: “Sali+ kwa Yehova Mungu wako kwa ajili ya watumishi wako, kwa maana hatutaki kufa; kwa sababu tumeongeza uovu juu ya dhambi zetu zote kwa kujiombea mfalme.”

20 Basi Samweli akawaambia watu: “Msiogope.+ Ninyi—mmefanya uovu huu wote. Ila tu msigeuke kando mwache kumtumikia Yehova,+ nanyi lazima mmtumikie Yehova kwa moyo wenu wote.+ 21 Nanyi msigeuke kando ili kufuata vitu visivyo vya kweli+ ambavyo havina faida+ yoyote na ambavyo havikomboi, kwa sababu hivyo ni vitu visivyo vya kweli. 22 Kwa maana Yehova hatawaacha+ watu wake kwa ajili ya jina lake kuu,+ kwa sababu Yehova ameamua mwenyewe kuwafanya ninyi kuwa watu wake.+ 23 Nami pia, kwa upande wangu, ni jambo lisilowaziwa, kwamba nimtendee Yehova dhambi kwa kuacha kusali kwa ajili yenu;+ nami nitawafundisha+ ninyi katika njia iliyo njema+ na iliyo sawa. 24 Ila tu mwogopeni+ Yehova, nanyi mkamtumikie katika kweli kwa moyo wenu wote;+ kwa maana angalieni jinsi amewafanyia mambo makuu.+ 25 Lakini mkifanya yaliyo mabaya bila kujali, ninyi pamoja na mfalme wenu+ mtafagiliwa mbali.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki