Kutoka 6:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Huyo ndiye Haruni na Musa ambao Yehova aliwaambia:+ “Watoeni wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri kulingana na majeshi yao.”+ Nehemia 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nawe ukawajulisha sabato+ yako takatifu, na amri na masharti na sheria ukawaamuru kupitia Musa mtumishi wako.+ Zaburi 77:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Umewaongoza watu wako kama kundi,+Kwa mkono wa Musa na Haruni.+ Zaburi 105:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Alimtuma Musa mtumishi wake,+Haruni aliyekuwa amemchagua.+ Hosea 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na Yehova kupitia nabii akaleta Israeli kutoka Misri,+ naye akalindwa kupitia nabii.+ Mika 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana niliwaleta ninyi kutoka nchi ya Misri,+ nami niliwakomboa kutoka nyumba ya watumwa;+ nami nikawatuma Musa, Haruni na Miriamu+ mbele yenu.
26 Huyo ndiye Haruni na Musa ambao Yehova aliwaambia:+ “Watoeni wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri kulingana na majeshi yao.”+
14 Nawe ukawajulisha sabato+ yako takatifu, na amri na masharti na sheria ukawaamuru kupitia Musa mtumishi wako.+
4 Kwa maana niliwaleta ninyi kutoka nchi ya Misri,+ nami niliwakomboa kutoka nyumba ya watumwa;+ nami nikawatuma Musa, Haruni na Miriamu+ mbele yenu.