Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Musa naye akasema: “Je, Haruni Mlawi si ndugu yako?+ Najua kwamba anaweza kuongea kwelikweli. Na tena, tazama, yuko njiani akija kukupokea. Atakapokuona, hakika atashangilia moyoni mwake.+

  • Kutoka 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa hiyo Yehova akamwambia Musa: “Tazama, nimekufanya wewe kuwa Mungu kwa Farao,+ na Haruni ndugu yako atakuwa nabii wako.+

  • Kutoka 28:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Na wewe, mlete karibu nawe Haruni ndugu yako na wanawe pamoja naye kutoka katikati ya wana wa Israeli ili awe kuhani kwangu,+ Haruni,+ Nadabu na Abihu,+ Eleazari na Ithamari,+ wana wa Haruni.

  • Hesabu 17:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na itatukia kwamba mtu nitakayemchagua,+ fimbo yake itachipuka, nami nitakomesha manung’uniko+ ya wana wa Israeli juu yangu, ambayo wananung’unika juu yenu.”+

  • 1 Samweli 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na Samweli akaendelea kuwaambia watu hao: “Yehova ni shahidi, aliyewatumia Musa na Haruni, na ambaye aliwaleta mababu zenu kutoka nchi ya Misri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki