14 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Musa naye akasema: “Je, Haruni Mlawi si ndugu yako?+ Najua kwamba anaweza kuongea kwelikweli. Na tena, tazama, yuko njiani akija kukupokea. Atakapokuona, hakika atashangilia moyoni mwake.+
28“Na wewe, mlete karibu nawe Haruni ndugu yako na wanawe pamoja naye kutoka katikati ya wana wa Israeli ili awe kuhani kwangu,+ Haruni,+ Nadabu na Abihu,+ Eleazari na Ithamari,+ wana wa Haruni.
5 Na itatukia kwamba mtu nitakayemchagua,+ fimbo yake itachipuka, nami nitakomesha manung’uniko+ ya wana wa Israeli juu yangu, ambayo wananung’unika juu yenu.”+