Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Musa naye akasema: “Je, Haruni Mlawi si ndugu yako?+ Najua kwamba anaweza kuongea kwelikweli. Na tena, tazama, yuko njiani akija kukupokea. Atakapokuona, hakika atashangilia moyoni mwake.+

  • Zaburi 99:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Musa na Haruni walikuwa kati ya makuhani wake,+

      Na Samweli alikuwa kati ya wale walioliitia jina lake.+

      Walikuwa wakimwita Yehova, naye akaendelea kuwajibu.+

  • Waebrania 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Pia, mtu huchukua heshima hii, si kwa kupenda kwake mwenyewe,+ bali tu Mungu anapomwita,+ kama Haruni+ pia alivyoitwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki