Zaburi 99:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Musa na Haruni walikuwa miongoni mwa makuhani wake,+Na Samweli alikuwa miongoni mwa wale walioliita jina lake.+ Walikuwa wakimwita Yehova,Naye alikuwa akiwajibu.+
6 Musa na Haruni walikuwa miongoni mwa makuhani wake,+Na Samweli alikuwa miongoni mwa wale walioliita jina lake.+ Walikuwa wakimwita Yehova,Naye alikuwa akiwajibu.+