Zaburi 99:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Musa na Haruni walikuwa kati ya makuhani wake,+Na Samweli alikuwa kati ya wale walioliitia jina lake.+Walikuwa wakimwita Yehova, naye akaendelea kuwajibu.+
6 Musa na Haruni walikuwa kati ya makuhani wake,+Na Samweli alikuwa kati ya wale walioliitia jina lake.+Walikuwa wakimwita Yehova, naye akaendelea kuwajibu.+