Kutoka 24:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kisha Musa akachukua nusu ya damu na kuitia katika mabakuli,+ na nusu ya damu akainyunyiza juu ya madhabahu.+ Hesabu 14:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Usamehe, tafadhali, kosa la watu hawa kulingana na ukuu wa fadhili zako zenye upendo, na kama vile ambavyo umewasamehe watu hawa tangu Misri na kuendelea mpaka sasa.”+
6 Kisha Musa akachukua nusu ya damu na kuitia katika mabakuli,+ na nusu ya damu akainyunyiza juu ya madhabahu.+
19 Usamehe, tafadhali, kosa la watu hawa kulingana na ukuu wa fadhili zako zenye upendo, na kama vile ambavyo umewasamehe watu hawa tangu Misri na kuendelea mpaka sasa.”+