Mambo ya Walawi 17:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana nafsi ya mwili iko katika damu,+ nami mwenyewe nimeiweka juu ya madhabahu ili ninyi mfanye upatanisho+ kwa ajili ya nafsi zenu, kwa sababu damu+ ndiyo hufanya upatanisho+ kupitia nafsi iliyo ndani yake.
11 Kwa maana nafsi ya mwili iko katika damu,+ nami mwenyewe nimeiweka juu ya madhabahu ili ninyi mfanye upatanisho+ kwa ajili ya nafsi zenu, kwa sababu damu+ ndiyo hufanya upatanisho+ kupitia nafsi iliyo ndani yake.