Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:24, 25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Basi watu wakaanza kumnung’unikia Musa,+ wakisema: “Tutakunywa nini?” 25 Musa akamlilia Yehova,+ naye Yehova akamwelekeza kwenye mti fulani. Alipoutupa ndani ya maji hayo, yakawa matamu.

      Huko Mungu akawawekea sharti na msingi wa hukumu, na huko Mungu akawajaribu.+

  • 1 Samweli 15:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi neno la Yehova likamjia Samweli:

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki