Kutoka 15:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kisha yeye akamlilia Yehova.+ Basi Yehova akamwelekeza kwenye mti fulani, naye akautupa ndani ya maji nayo maji yakawa matamu.+ Hapo Yeye akawawekea sharti na kesi ya kuhukumia na hapo akawatia katika jaribu.+
25 Kisha yeye akamlilia Yehova.+ Basi Yehova akamwelekeza kwenye mti fulani, naye akautupa ndani ya maji nayo maji yakawa matamu.+ Hapo Yeye akawawekea sharti na kesi ya kuhukumia na hapo akawatia katika jaribu.+