Kutoka 17:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwishowe Musa akamlilia Yehova, na kusema: “Nitafanya nini na watu hawa? Bado muda kidogo nao watanipiga kwa mawe!”+ Zaburi 50:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na uniite katika siku ya taabu.+Nitakuokoa, nawe utanitukuza.”+
4 Mwishowe Musa akamlilia Yehova, na kusema: “Nitafanya nini na watu hawa? Bado muda kidogo nao watanipiga kwa mawe!”+