Zaburi 22:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ninyi mnaomwogopa Yehova, msifuni!+Enyi nyote mlio uzao wa Yakobo, mtukuzeni!+Na mwogopeni yeye, enyi nyote mlio uzao wa Israeli.+ Zaburi 50:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yule anayetoa shukrani zikiwa dhabihu yake ndiye anayenitukuza;+Naye anayedumisha njia iliyowekwa,Nitamfanya aone wokovu wa Mungu.”+
23 Ninyi mnaomwogopa Yehova, msifuni!+Enyi nyote mlio uzao wa Yakobo, mtukuzeni!+Na mwogopeni yeye, enyi nyote mlio uzao wa Israeli.+
23 Yule anayetoa shukrani zikiwa dhabihu yake ndiye anayenitukuza;+Naye anayedumisha njia iliyowekwa,Nitamfanya aone wokovu wa Mungu.”+