Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 50:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na uniite katika siku ya taabu.+

      Nitakuokoa, nawe utanitukuza.”+

  • Zaburi 50:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yule anayetoa shukrani zikiwa dhabihu yake ndiye anayenitukuza;+

      Naye anayedumisha njia iliyowekwa,

      Nitamfanya aone wokovu wa Mungu.”+

  • Luka 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Basi wachungaji wakarudi, wakimtukuza na kumsifu Mungu kwa ajili ya mambo yote waliyoyasikia na kuyaona, sawa na walivyokuwa wameambiwa.

  • 1 Wakorintho 6:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 kwa maana mlinunuliwa kwa bei.+ Kwa vyovyote, mtukuzeni+ Mungu katika mwili+ wenu.

  • Ufunuo 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe,+ Yehova,+ na kulitukuza jina lako,+ kwa sababu wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki