Zaburi 91:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nitamshibisha kwa wingi wa siku,+Nami nitamfanya aone wokovu wangu.+ Mika 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee mtu wa udongo, yeye amekuambia yaliyo mema.+ Na Yehova anataka nini kutoka kwako ila kutenda haki+ na kupenda fadhili+ na kuwa na kiasi+ katika kutembea na Mungu wako?+ Luka 2:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 kwa sababu macho yangu yameona njia yako ya kuokoa+
8 Ee mtu wa udongo, yeye amekuambia yaliyo mema.+ Na Yehova anataka nini kutoka kwako ila kutenda haki+ na kupenda fadhili+ na kuwa na kiasi+ katika kutembea na Mungu wako?+