Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Fadhili zenye upendo na ukweli zisikuache.+ Zifunge shingoni pako.+ Ziandike kwenye kibao cha moyo wako,+

  • Methali 19:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kinachotamanika katika mtu wa udongo ni fadhili zake zenye upendo;+ na maskini ni bora kuliko mtu anayesema uwongo.+

  • Hosea 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana mimi ninapendezwa na fadhili zenye upendo,+ na si dhabihu;+ ninapendezwa na kumjua Mungu kuliko matoleo mazima ya kuteketezwa.+

  • Zekaria 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Fanyeni hukumu kwa haki ya kweli;+ na mtendeane kwa fadhili zenye upendo+ na rehema;+

  • Waefeso 4:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Bali iweni wenye fadhili+ ninyi kwa ninyi, wenye huruma nyororo,+ mkisameheana kwa hiari kama vile Mungu pia kupitia Kristo alivyowasamehe ninyi kwa hiari.+

  • Wakolosai 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi, kama waliochaguliwa wa Mungu,+ watakatifu na wapendwa, jivikeni upendo mwororo wenye huruma,+ fadhili, unyenyekevu wa akili,+ upole,+ na ustahimilivu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki