12 Basi, kama waliochaguliwa wa Mungu,+ watakatifu na wapendwa, jivikeni upendo mwororo wenye huruma,+ fadhili, unyenyekevu wa akili,+ upole,+ na ustahimilivu.+
8 Mwishowe, ninyi nyote iweni na akili zinazopatana,+ mkionyesha hisia-mwenzi, mkiwa na upendo wa kindugu, wenye huruma nyororo,+ wanyenyekevu katika akili,+