1 Wakorintho 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Sasa nawahimiza+ ninyi, akina ndugu, kupitia jina+ la Bwana wetu Yesu Kristo kwamba nyote mseme kwa upatano,+ na kwamba kusiwe na migawanyiko+ katikati yenu, bali kwamba muunganishwe vema katika akili ileile na katika njia ileile ya kufikiri.+ Wafilipi 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 fanyeni shangwe yangu ijae kwa kuwa mna akili ileile+ na mna upendo uleule, mkiunganishwa pamoja katika nafsi, mkishika wazo moja akilini,+
10 Sasa nawahimiza+ ninyi, akina ndugu, kupitia jina+ la Bwana wetu Yesu Kristo kwamba nyote mseme kwa upatano,+ na kwamba kusiwe na migawanyiko+ katikati yenu, bali kwamba muunganishwe vema katika akili ileile na katika njia ileile ya kufikiri.+
2 fanyeni shangwe yangu ijae kwa kuwa mna akili ileile+ na mna upendo uleule, mkiunganishwa pamoja katika nafsi, mkishika wazo moja akilini,+