Mathayo 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Kwa maana ikiwa mnawasamehe watu makosa yao, Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi pia;+ Mathayo 18:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Vivyo hivyo+ Baba yangu wa mbinguni atashughulika nanyi pia ikiwa kila mmoja wenu hatamsamehe ndugu yake kutoka moyoni mwake.”+ Marko 11:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na mnaposimama mkisali, wasameheni+ watu chochote mlicho nacho dhidi yao; ili Baba yenu aliye mbinguni awasamehe makosa yenu ninyi pia.”+ 2 Wakorintho 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jambo lolote ambalo mnamsamehe yeyote kwa fadhili, mimi vilevile namsamehe.+ Kwa kweli, kwa habari yangu mimi, lolote lile ambalo nimesamehe kwa fadhili, ikiwa nimesamehe kwa fadhili jambo lolote, imekuwa ni kwa ajili yenu machoni pa Kristo;
35 Vivyo hivyo+ Baba yangu wa mbinguni atashughulika nanyi pia ikiwa kila mmoja wenu hatamsamehe ndugu yake kutoka moyoni mwake.”+
25 Na mnaposimama mkisali, wasameheni+ watu chochote mlicho nacho dhidi yao; ili Baba yenu aliye mbinguni awasamehe makosa yenu ninyi pia.”+
10 Jambo lolote ambalo mnamsamehe yeyote kwa fadhili, mimi vilevile namsamehe.+ Kwa kweli, kwa habari yangu mimi, lolote lile ambalo nimesamehe kwa fadhili, ikiwa nimesamehe kwa fadhili jambo lolote, imekuwa ni kwa ajili yenu machoni pa Kristo;